Tuesday 15 April 2014

Picha za Ziara ya Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) katika Ofisi za Tume ya Uhsindani Leo Asubuhi

 Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani, Dk. Frederick Ringo akimkaribisha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) katika katika jengo la Ubungo Plaza zilipo ofisi za Tume hiyo, leo Aprili 15, 2014.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) akiweka saini katika kitabu cha wageni katika ofisi za Tume ya Ushindani alipotembelea hapo leo Aprili 15, 2014.Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Sera na Mipango-Bajeti katika Wizara hiyo, Bi. Elizabeth Msengi, aliyeambatana na Naibu Waziri.
 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) akipata maelezo ya ujumla kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani, Dk. Frederick Ringo, alipotembelea ofisi za Tume hiyo, Ubungo Plaza, Dar es Salaam, leo Aprili 15/2014.
 Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani, Dk. Frederick Ringo, akisoma Risala fupi na kumkaribisha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) (hayupo pichani) aliyetembelea ofisi za Tume hiyo Aprili 15, 2014.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Ushindani wakisikiliza hotuba wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) (hayupo pichani) alipotembelea ofisi za Tume hiyo Aprili 15, 2014.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Ushindani wakisikiliza hotuba wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) (hayupo pichani) alipotembelea ofisi za Tume hiyo Aprili 15, 2014.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Ushindani wakisikiliza hotuba wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) (hayupo pichani) alipotembelea ofisi za Tume hiyo Aprili 15, 2014.
 Mkuu wa Idara ya Utetezi wa Mlaji, Martha Kisyombe, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) shughuli za idara hiyo na changamoto zake, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014.
 Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) shughuli za idara hiyo na changamoto zake, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014.
 Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) jinsi ya kutambua bidhaa bandia, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Dk. Frederick Ringo.
  Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) jinsi ya kutambua bidhaa bandia, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014. 
  Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) jinsi ya kutambua bidhaa bandia, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Dk. Frederick Ringo.
  Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) jinsi ya kutambua bidhaa bandia, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Dk. Frederick Ringo.
  Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) jinsi ya kutambua bidhaa bandia, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014. 
  Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) jinsi ya kutambua bidhaa bandia, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014.
  Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) jinsi ya kutambua bidhaa bandia, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014.
  Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Bidhaa bandia, John Mponela, akimweleza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) jinsi ya kutambua bidhaa bandia, wakati waziri huyo alipotembelea ofisi za Tume leo, Aprili 15, 2014. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Dk. Frederick Ringo.
 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) akizungumza na wafanyakazi wa Tume ya Ushindani alipotembelea ofisi hizo leo, Aprili 15, 2014.
  Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB) akizungumza na wafanyakazi wa Tume ya Ushindani alipotembelea ofisi hizo leo, Aprili 15, 2014.
Mkuu wa Idara ya Kudhibiti Bidhaa Bandia, John Mponela, akifafanua jambo wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene (MB)  katika ofisi za Tume ya Ushindani leo, Aprili 15, 2014.

No comments:

Post a Comment