Wafanyabiashara wasio waaminifu wamekuwa wakiweka mikataba inayokwepa uwajibikaji na kumkandamiza mlaji. Kuanzia Januari 1, 2016, Tume imeanza kupokea, kupitia na kusajili mikataba ya mlaji inayoandaliwa na mto huduma kwa nia ya kuonda vipengele vinavyokwepa uwajibikaji na kumkandamiza mlaji. Unapokuwa katika shughuli za kupata huduma ukakutana na mikataba ya huduma kwa mlaji ya aina hii, wasiliana na Tume ya Ushindani kwa Namba ya simu 22 2926128-31. Barua pepe info@competition.or.tz

This Blog keeps you abreast key events relating to the Fair Competition Commission. The Commission was established by the Fair Competition Act (No. 8 of 2003) to promote and protect effective competition in Trade and Commerce and to protect consumers from misleading and deceptive conducts. It also fights counterfeits under the Merchandise Marks Act (1963) as amended.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment