Monday 4 September 2017

Toa Taarifa Unapokutana na mikataba inayomkandamiza mlaji

Wafanyabiashara wasio waaminifu wamekuwa wakiweka mikataba inayokwepa uwajibikaji na kumkandamiza mlaji. Kuanzia Januari 1, 2016, Tume imeanza kupokea, kupitia na kusajili mikataba ya mlaji inayoandaliwa na mto huduma kwa nia ya kuonda vipengele vinavyokwepa uwajibikaji na kumkandamiza mlaji. Unapokuwa katika shughuli za kupata huduma ukakutana na mikataba ya huduma kwa mlaji ya aina hii, wasiliana na Tume ya Ushindani kwa Namba ya simu 22 2926128-31. Barua pepe info@competition.or.tz


No comments:

Post a Comment