Wednesday 6 September 2017

Picha za Vikao vya Kurugenzi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa FCC

   Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji, Bibi Anne Mbughuni, akimweleza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume, Dk. John Kedi Mduma (kushoto), kuhusu shughuli za kurugenzi yakı katika ukumbi wa mikutano wa Tume, Septemba 5, 2017.

   Wafanyakazi wa Kurugenzi ya Uendeshaji wakifuatilia wasilisho la Kaimu Mkurugenzi wao, Bibi Anna Mbughuni katika kikao na Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Dk. John Kedi Mduma katika ukumbi wa mikutano wa Tume, Septemba 5, 2017.

    Wafanyakazi wa Kurugenzi ya Uendeshaji wakifuatilia wasilisho la Kaimu Mkurugenzi wao, Bibi Anna Mbughuni katika kikao na Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Dk. John Kedi Mduma katika ukumbi wa mikutano wa Tume, Septemba 5, 2017.

   Wafanyakazi wa Kurugenzi ya Utetezi wa Mlaji na Udhibiti wa Bidhaa Bandia wakifuatilia wasilisho la Kaimu Mkurugenzi wao, Bw. Godfrey Gabriel katika kikao na Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Dk. John Kedi Mduma katika ukumbi wa mikutano wa Tume, Septemba 5, 2017.

No comments:

Post a Comment