Wednesday 18 June 2014

FCC Katika Maonesho ya Utumishi wa Umma

Waandaaji wa Banda la FCC wakiendelea maandalizi ya banda katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, Juni 15, 2014 kwa ajili ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Waandaaji wa Banda la FCC wakiendelea maandalizi ya banda katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, Juni 15, 2014 kwa ajili ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Maafisa wa FCC wakihudumia wananchi katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 16, 2014.
Afisa Mwandamizi wa Habari na Mawasiliano wa FCC, Bw. Frank Mdimi, akiwaeleza wananchi kuhusu shughuli za Tume katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 16, 2014.

Afisa Mkaguzi wa Bidaa Bandia wa FCC, Mgasi Kalindimya (kushoto)  akimhudumia mwananchi katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 16, 2014.
Afisa Mwandamizi wa Habari na Mawasiliano wa FCC, Bw. Frank Mdimi, akiwaeleza wananchi kuhusu shughuli za Tume katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 16, 2014.

Afisa Mkaguzi wa Bidaa Bandia, Mgasi Kalindimya wa FCC akiwahudumia mwananchi katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 17, 2014.
Afisa Mkaguzi wa Bidaa Bandia, Mgasi Kalindimya (kushoto) wa FCC akimhudumia mwananchi katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 17, 2014.
Afisa Mkaguzi wa Bidaa Bandia, Mgasi Kalindimya (kushoto) wa FCC akimhudumia mwananchi katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 16, 2014.
Afisa Mkaguzi wa Bidaa Bandia, Mgasi Kalindimya (kushoto) wa FCC akimhudumia mwananchi katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 17, 2014.
Afisa Mkaguzi wa Bidaa Bandia, Mgasi Kalindimya (kushoto) wa FCC wakihudumia wananchi katika Banda la Tume ya Ushindani katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Juni 17, 2014.



No comments:

Post a Comment